Naibu Rais Gachagua Azindua Kamati Ya Kitaifa Ya Kukabiliana Na Ukame
- last year
Naibu Rais Rigathi Gachagua Amezindua Rasmi Kamati Ya Kitaifa Ambayo Itajukumika Kukabiliana Na Ukame Nchini. Gachagua Amewaonya Walaghai Wanaotumia Janga La Njaa Kuwapunja Wakenya Na Kusema Watakabiliwa Kisheria.