Naibu Rais Gachagua Azindua Kamati Ya Kitaifa Ya Kukabiliana Na Ukame
  • last year
Naibu Rais Rigathi Gachagua Amezindua Rasmi Kamati Ya Kitaifa Ambayo Itajukumika Kukabiliana Na Ukame Nchini. Gachagua Amewaonya Walaghai Wanaotumia Janga La Njaa Kuwapunja Wakenya Na Kusema Watakabiliwa Kisheria.
Recommended