Goli la Yanga vs Simba (1-0) Ngao ya jamii

  • 3 years ago
YANGA imetwaa taji la Ngao ya Jamii mbele ya watani zao wa jadi Simba katika mchezo uliokuwa na mvuto mkubwa.
Bao la ushindi limepachikwa na Fiston Mayele kwa shuti kali ambalo lilimzidi ujanja Aishi Manula kipa namba moja wa Simba.

Kiungo mkata umeme Taddeo Lwanga alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano.

Recommended