BREAKING NEWS: Maalim Seif Atua Chadema CUF na CHADEMA ni kitu kimoja

  • 6 years ago
Mwenyekiti waBaraz la wazee Chadema Bw. Hashimu Juma amedai kuwa chadema na CUF ni kitu kimoja hivyo basi kama CCM wakifanikiwa kumtoa maalim seif zanzibar basi kutokana na wao kuwa kitu kimoja maalimu atachukua fomu kupitia chama hiko cha chadema pamoja na viongozi wengine wote wa maalim seif.