Wimbo Mpya wa Dini "Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu"
  • 5 years ago
Wimbo Mpya wa Dini "Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu" | Have You Enjoyed the Joy of Gaining the Work of the Holy Spirit? (Official Video)

Wakati hamumwelewi Mungu na hamjui asili Yake,
mioyo yenu haiwezi kamwe kufunguka, kufungukia Mungu.
Mara utakapomwelewa Mungu wako, utaelewa kilicho moyoni Mwake,
na kufurahia kilicho ndani Yake kwa imani na usikivu wako wote.
Unapofurahia kile kilicho ndani ya moyo wa Mungu, kidogo kidogo, siku baada ya siku,
unapofurahia kile kilicho ndani ya moyo wa Mungu, moyo wako utakuwa wazi Kwake.

Moyo wako unapokuwa wazi kweli, moyo wako unapokuwa wazi kweli,
utaiona dharau, utaiona aibu
ya maombi yako ya kupita kiasi na yenye ubinafsi.
Moyo wako unapokuwa wazi kweli,
moyo wako unapokuwa wazi kweli,
utaona dunia isiyo na mwisho moyoni mwa Mungu,
na kuwa katika ulimwengu wa maajabu yasiyosimuliwa.
Hakuna giza mabaya au uongo,
Unapoufungua Moyo wako kwa Mungu.
Ni ukweli tu, imani tu mwanga tu haki kote.
Unapoufungua Moyo wako kwa Mungu.

Yeye ni upendo, Yeye anajali, ana huruma isiyo na mwisho.
Maishani mwako, unahisi furaha,
Unapoufungua moyo wako kwa Mungu.
Hekima na nguvu Zake zinajaza ulimwengu huu,
vile vile mamlaka na upendo Wake.
Unaweza kuona kile Mungu anacho na Alicho
Kinachomletea furaha, na kinachomletea matatizo,
kinachomletea huzuni na hasira, vyote viko wazi kwa wote kuona,
unapoufungua moyo wako kwa Mungu na kumwalika aingie ndani.

kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili

Yaliyopendekezwa:

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

njili ya Kushuka kwa Ufalme: https://sw.kingdomsalvation.org/
Kanisa la Mwenyezi Mungu: https://sw.godfootsteps.org/
Kanisa la Mwenyezi Mungu YouTube: https://www.youtube.com/channel/UCkUDnudSY6_KR123N2Yr7mw
Kanisa la Mwenyezi Mungu Facebook: https://www.facebook.com/kingdomsalvationsw/
Kanisa la Mwenyezi Mungu Twitter: https://twitter.com/CAGchurchsw
Kanisa la Mwenyezi Mungu Instagram: https://www.instagram.com/thechurchofalmightygodsw/
Recommended