Siri yafichuka mkanganyiko kifo cha Mtoto Patrick, baba afunguka mazito, kisa milioni 15

  • 6 years ago
Baba mzazi wa marehemu Patrick anaeishi Mwananyama kwa Mwakibile leo Julai 4 amefunguka kuhusiana na sakata la mkanganyiko unaojitokeza kuhusiana na mtoto huyo ambapo amedai kuwa Muna Love ambae mama wa Patrick ndio chanzo cha yote na kutoa kauli kuhusu jambo hilo.

Recommended