Ni hatari: Amber Lulu amwaga radhi stejini/ Ageuka kituko

  • 6 years ago
Msanii wa muziki Amber amefanya kufuru ya mwaka katika Tamasha Sport Music Festival lililofanyika mkoani Geita Ijumaa hii. Muimbaji huyo aliwa stejini alimpandisha mwanaume na kuanza kucheza naye.

Recommended